Swali: Ni ipi hukumu ya kubakiza kucha zaidi ya siku arubaini?
Jibu: Hili linahitajia upambanuzi. Ikiwa yule mfugaji anataka kuwaiga makafiri waliopinda kutokamana na maumbile yaliyosalimika, basi kitendo hicho ni haramu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Dogo liwezalo kusemwa kuhusu Hadiyth hii ni kwamba ni haramu japokuwa udhahiri wake unapelekea katika ukafiri wa yule mwenye kujifananisha.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kubakiza kucha zaidi ya siku arubaini?
Jibu: Hili linahitajia upambanuzi. Ikiwa yule mfugaji anataka kuwaiga makafiri waliopinda kutokamana na maumbile yaliyosalimika, basi kitendo hicho ni haramu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Dogo liwezalo kusemwa kuhusu Hadiyth hii ni kwamba ni haramu japokuwa udhahiri wake unapelekea katika ukafiri wa yule mwenye kujifananisha.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/132)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kubakiza-kucha-zaidi-ya-siku-arubaini/