Swali: Ni ipi hukumu mtu akiota katikati ya Ihraam yake? Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Mtu akiota katikati ya Ihraam yake na akatokwa na manii basi ni lazima kwake kuoga na hana jengine juu yake. Ihraam yake ni sahihi na wala haimdhukuru kitu. Kwa sababu hakufanya hivo kwa kutaka kwake. Kadhalika swawm katika Ramadhaan na miezi mingine mtu akiota swawm yake ni sahihi. Lakini akitokwa na manii atatakiwa kuoga joshi la janaba.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/15152/%D9%87%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AD%D8%AA%D9%84%D8%A7%D9%85-%D9%8A%D9%81%D8%B3%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AD%D8%B1%D8%A7%D9%85
- Imechapishwa: 17/08/2018
Swali: Ni ipi hukumu mtu akiota katikati ya Ihraam yake? Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Mtu akiota katikati ya Ihraam yake na akatokwa na manii basi ni lazima kwake kuoga na hana jengine juu yake. Ihraam yake ni sahihi na wala haimdhukuru kitu. Kwa sababu hakufanya hivo kwa kutaka kwake. Kadhalika swawm katika Ramadhaan na miezi mingine mtu akiota swawm yake ni sahihi. Lakini akitokwa na manii atatakiwa kuoga joshi la janaba.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/15152/%D9%87%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AD%D8%AA%D9%84%D8%A7%D9%85-%D9%8A%D9%81%D8%B3%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AD%D8%B1%D8%A7%D9%85
Imechapishwa: 17/08/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-mtu-akiota-katikati-ya-ihraam-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)