Swali: Hadiyth isemayo:
“Ummah huu utafarikiana katika mapote sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja.”
ni Swahiyh?
Jibu: Ndio, ni Swahiyh kwa njia zake zote. Kwa sababu imepokelewa kwa njia nyingi ambazo zimetajwa na wanachuoni. Kwa njia zake zote ni Hadiyth Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Hadiyth isemayo:
“Ummah huu utafarikiana katika mapote sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja.”
ni Swahiyh?
Jibu: Ndio, ni Swahiyh kwa njia zake zote. Kwa sababu imepokelewa kwa njia nyingi ambazo zimetajwa na wanachuoni. Kwa njia zake zote ni Hadiyth Swahiyh.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/ni-hadiyth-swahiyh/