Swali: Ndugu wawili walishirikiana katika kujenga nyumba ambapo mmoja wao akachukua mkopo kutoka benki ilihali huyo ndugu mwingine alikuja kujua baada ya kumalizika jengo. Ni kipi kinachomlazimu huyo ndugu mwingine? Je, anapata dhambi?
Jibu: Nataraji kuwa hapati dhambi, kwa sababu hakujua. Dhambi zinampata yule mfanyaji. Aliyepewa mtihani kwa jambo hilo na si yeye mfanyaji, dhambi zinapata yule mtendaji.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 289
- Imechapishwa: 02/08/2025
Swali: Ndugu wawili walishirikiana katika kujenga nyumba ambapo mmoja wao akachukua mkopo kutoka benki ilihali huyo ndugu mwingine alikuja kujua baada ya kumalizika jengo. Ni kipi kinachomlazimu huyo ndugu mwingine? Je, anapata dhambi?
Jibu: Nataraji kuwa hapati dhambi, kwa sababu hakujua. Dhambi zinampata yule mfanyaji. Aliyepewa mtihani kwa jambo hilo na si yeye mfanyaji, dhambi zinapata yule mtendaji.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 289
Imechapishwa: 02/08/2025
https://firqatunnajia.com/ndugu-yake-amechukua-mkopo-benki-katika-nyumba-wanayoshirikiana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket