Swali: Ndoto ya mwenye janaba?

Jibu: Inaweza kuwa sahihi hata kama atakuwa na janaba, inaweza kuwa ni katika wasiwasi wa shaytwaan, inaweza kuwa ni katika mazungumzo ya nafsi na inaweza kuwa sahihi ijapo yuko na janaba. Hata hivyo Sunnah kwake ni yeye kulala akiwa ametawadha.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24560/هل-تصح-الرويا-من-الجنب
  • Imechapishwa: 01/11/2024