Miongoni mwa madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kunyamazia yaliyopitika kati ya Maswahabah. Tusiyazungumze. Tupuuze, kwa mioyo yetu na ndimi zetu, yaliyopitika kati yao. Badala yake tuseme kuwa wote ni wenye kujitahidi. Aliyepatia katika wao anapata ujira mara mbili na aliyekosea katika wao anapata ujira mmoja. Huo ni Ummah ambao umeshatangulia. Wana waliyochuma na nyinyi mna mliyochuma. Hamtoulizwa kuhusu waliyokuwa wakitenda.
Lau mtu atasoma [vitabu vya] historia ataona vituko vikubwa! Ataona kuna ambao wako upande wa Banuu Umayyah na kumponda ´Aliy bin Abiy Twaalib na watu wa familia ya Mtume (´alayhis-Salaam). Ataona wengine wamevuka mipaka kwa ´Aliy bin Abiy Twaalib na watu wa familia ya Mtume (´alayhis-Salaam) na anawaponda Banuu Umayyah. Hili ni kwa sababu katika historia kunaingia pia siasa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/280-281)
- Imechapishwa: 27/09/2024
Miongoni mwa madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kunyamazia yaliyopitika kati ya Maswahabah. Tusiyazungumze. Tupuuze, kwa mioyo yetu na ndimi zetu, yaliyopitika kati yao. Badala yake tuseme kuwa wote ni wenye kujitahidi. Aliyepatia katika wao anapata ujira mara mbili na aliyekosea katika wao anapata ujira mmoja. Huo ni Ummah ambao umeshatangulia. Wana waliyochuma na nyinyi mna mliyochuma. Hamtoulizwa kuhusu waliyokuwa wakitenda.
Lau mtu atasoma [vitabu vya] historia ataona vituko vikubwa! Ataona kuna ambao wako upande wa Banuu Umayyah na kumponda ´Aliy bin Abiy Twaalib na watu wa familia ya Mtume (´alayhis-Salaam). Ataona wengine wamevuka mipaka kwa ´Aliy bin Abiy Twaalib na watu wa familia ya Mtume (´alayhis-Salaam) na anawaponda Banuu Umayyah. Hili ni kwa sababu katika historia kunaingia pia siasa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/280-281)
Imechapishwa: 27/09/2024
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-vitabu-vya-historia-ya-maswahabah-vina-vituko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)