Swali: Hadiyth isemayo: “Ummah huu utafarikiana katika mapote sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja.” ni Swahiyh?
Jibu: Ndio, ni Swahiyh kwa njia zake zote. Kwa sababu imepokelewa kwa njia nyingi ambazo zimetajwa na wanachuoni. Kwa njia zake zote ni Hadiyth Swahiyh.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Swali: Hadiyth isemayo: “Ummah huu utafarikiana katika mapote sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja.” ni Swahiyh?
Jibu: Ndio, ni Swahiyh kwa njia zake zote. Kwa sababu imepokelewa kwa njia nyingi ambazo zimetajwa na wanachuoni. Kwa njia zake zote ni Hadiyth Swahiyh.
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/ndio-hadiyth-ni-swahiyh/