609 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu Hadiyth ya ´Ubayd bin Jurayj kutoka kwa Ibn ´Umar ambaye ameeleza kwamba alikuwa akitumia rangi ya manjano na alikuwa akisimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya hivyo?
Jibu: Hili ni katika ndevu na kichwa, si katika nguo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 216
- Imechapishwa: 12/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
609 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu Hadiyth ya ´Ubayd bin Jurayj kutoka kwa Ibn ´Umar ambaye ameeleza kwamba alikuwa akitumia rangi ya manjano na alikuwa akisimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya hivyo?
Jibu: Hili ni katika ndevu na kichwa, si katika nguo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 216
Imechapishwa: 12/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ndevu-na-nywele-za-kichwani-za-mtume/