Swali: Je, ni lazima kuziba pengo zilizoko kati ya safu? Ni lazima kuzikutanisha nyayo?
Jibu: Ndio, kuziba pengo ni wajibu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Msimwachie pengo/upenyo shaytwaan.”
Shaytwaan hujipenyeza kati ya waswaliji na akawatia wasiwasi. Wakisogeleana na wakaziba pengo shaytwaan hawezi kujipenyeza kati yao. Lakini kuziba pengo haiwi kwa kujipanua na kuchukua nafasi ya watu wawili; kuziba pengo kunakuwa kwa kusogeleana na kuyafanya sawa mabega na visigino.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
- Imechapishwa: 25/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket