Swali: Ikiwa mtu atakosa swalah ya ´iyd kwa mujibu wa maoni yanayosema kuwa ni faradhi ya kutosheleza atairudia mtu peke yake?
Jibu: Ni bora kuirudia. Lakini ikiwa tutasema ni wajibu wa kila mtu binafsi, basi ni lazima kuilipa. Lakini kwa mujibu wa maoni yanayosema kuwa ni faradhi ya kutosheleza ya kwamba ni Sunnah, basi inapendeza kuilipa kwa kuswali Rak´ah mbili.
Swali: Ikiwa ikiwa mtu katika swalah ya ´iyd atapitwa na Rak´ah moja?
Jibu: Ataongeza Rak´ah moja kama ilivyo kwenye swala ya ijumaa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24770/حكم-قضاء-صلاة-العيد-لمن-فاتته
- Imechapishwa: 12/12/2024
Swali: Ikiwa mtu atakosa swalah ya ´iyd kwa mujibu wa maoni yanayosema kuwa ni faradhi ya kutosheleza atairudia mtu peke yake?
Jibu: Ni bora kuirudia. Lakini ikiwa tutasema ni wajibu wa kila mtu binafsi, basi ni lazima kuilipa. Lakini kwa mujibu wa maoni yanayosema kuwa ni faradhi ya kutosheleza ya kwamba ni Sunnah, basi inapendeza kuilipa kwa kuswali Rak´ah mbili.
Swali: Ikiwa ikiwa mtu katika swalah ya ´iyd atapitwa na Rak´ah moja?
Jibu: Ataongeza Rak´ah moja kama ilivyo kwenye swala ya ijumaa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24770/حكم-قضاء-صلاة-العيد-لمن-فاتته
Imechapishwa: 12/12/2024
https://firqatunnajia.com/namna-inavyolipwa-swalah-ya-iyd-kwa-aliyekosa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)