Swali: Je, kilemba kinapanguswa mara moja au ni kama kichwa; kuanzia maoteo ya kichwa kwenda shingo na kurudi?
Jibu: Ni kama kichwa; anaanzia kwenye maoteo ya nywele na kupangusa na mikono kwenda kwenye shingo kisha arudi kwenda ile sehemu aliyoanzia. Haijalishi kitu sawa ikiwa atapangusa kichwa au kilemba. Ibn-ul-Qayyim amesema kuwa kuna sifa tatu za kupangusa kichwa:
1- Mtu apanguse sehemu inayoonekana ya mbele ya kichwa na sehemu iliobaki ya kilemba.
2- Ikiwa kilemba kinafunika kichwa kizima mtu apanguse kilemba kizima.
3- Ikiwa hana kilemba apanguse moja kwa moja kichwani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Je, kilemba kinapanguswa mara moja au ni kama kichwa; kuanzia maoteo ya kichwa kwenda shingo na kurudi?
Jibu: Ni kama kichwa; anaanzia kwenye maoteo ya nywele na kupangusa na mikono kwenda kwenye shingo kisha arudi kwenda ile sehemu aliyoanzia. Haijalishi kitu sawa ikiwa atapangusa kichwa au kilemba. Ibn-ul-Qayyim amesema kuwa kuna sifa tatu za kupangusa kichwa:
1- Mtu apanguse sehemu inayoonekana ya mbele ya kichwa na sehemu iliobaki ya kilemba.
2- Ikiwa kilemba kinafunika kichwa kizima mtu apanguse kilemba kizima.
3- Ikiwa hana kilemba apanguse moja kwa moja kichwani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndio-kinapanguswa-kilemba/