Swali: Kuna mama mzee sana ameshindwa kufunga Ramadhaan. Kumeshapita miaka mitatu yuko katika hali hii kutokana na utuuzima na maradhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Mambo yakiwa hivo ulivyoeleza basi ni wajibu kwake kulisha kwa kila siku moja aliyoacha kufunga masikini. Anatakiwa kulisha nusu pishi katika mchele, tende, mahindi au vyengine ambavyo anawalisha familia yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/161)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Kuna mama mzee sana ameshindwa kufunga Ramadhaan. Kumeshapita miaka mitatu yuko katika hali hii kutokana na utuuzima na maradhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Mambo yakiwa hivo ulivyoeleza basi ni wajibu kwake kulisha kwa kila siku moja aliyoacha kufunga masikini. Anatakiwa kulisha nusu pishi katika mchele, tende, mahindi au vyengine ambavyo anawalisha familia yake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/161)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/mzee-asiyeweza-kufunga-ramadhaan/