Swali: Kuna mwenye kuhiji amekufa katika Hajj ya faradhi ilihali ni mwenye kuhirimia ´Arafah na hakukamilisha Hajj yake. Je, ni wajibu juu ya watoto wake kumhijia?
Jibu: Kauli sahihi na ambayo inafahamishwa na Hadiyth ni kwamba hatohijiwa kwa kuwa amekufa hali ya kuwa ni mwenye kuhirimia na amebaki katika Nusuk yake. Hatohijiwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-29.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)