26 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwendawazimu anayeishi baina ya waislamu ambaye amebaleghe. Je, atajaribiwa au ataingia Peponi?
Jibu: Jibu linalowezekana zaidi – na Allaah ndiye anayejua zaidi – ni kwamba muda wa kuwa amepata wazimu kabla ya baleghe basi huyo ni katika wale watoto watakaokuwa Peponi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 36
- Imechapishwa: 25/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
26 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwendawazimu anayeishi baina ya waislamu ambaye amebaleghe. Je, atajaribiwa au ataingia Peponi?
Jibu: Jibu linalowezekana zaidi – na Allaah ndiye anayejua zaidi – ni kwamba muda wa kuwa amepata wazimu kabla ya baleghe basi huyo ni katika wale watoto watakaokuwa Peponi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 36
Imechapishwa: 25/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mwendawazimu-anayeishi-baina-ya-waislamu/