wazSwali: Ipi hukumu ya kutia wanja? Na je, imethibiti kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba alikuwa anaweka wanja machoni mwake?
Jibu: Kutia wanja ni Sunnah. Na imethibiti ya kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anatia wanja machoni mwake. Ni Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 17/03/2018
wazSwali: Ipi hukumu ya kutia wanja? Na je, imethibiti kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba alikuwa anaweka wanja machoni mwake?
Jibu: Kutia wanja ni Sunnah. Na imethibiti ya kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anatia wanja machoni mwake. Ni Sunnah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 17/03/2018
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kutia-wanja-ni-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket