Swali: Mwanaume akitaka kumuoa mwanamke na akawa amefanya hivo. Kisha baadaye akaja kujua kuwa mwanamke anataka kurudi kwa yule mume wake wa kwanza ambapo akamtaliki juu ya hilo. Je, inajuzu kwake kurudi?
Jibu: Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe. Kizuizi kiko wapi cha kurudi kwa yule mume wake wa kwanza wakaoana kwa kufunga ndoa mpya? Hakulazimishwa kumtaliki. Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe baada ya kutomtaka tena.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2017
Swali: Mwanaume akitaka kumuoa mwanamke na akawa amefanya hivo. Kisha baadaye akaja kujua kuwa mwanamke anataka kurudi kwa yule mume wake wa kwanza ambapo akamtaliki juu ya hilo. Je, inajuzu kwake kurudi?
Jibu: Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe. Kizuizi kiko wapi cha kurudi kwa yule mume wake wa kwanza wakaoana kwa kufunga ndoa mpya? Hakulazimishwa kumtaliki. Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe baada ya kutomtaka tena.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 27/10/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-mwolewaji-anataka-kurudi-kwa-yule-mume-wa-kwanza/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket