Swali: Mwanaume akitaka kumuoa mwanamke na akawa amefanya hivo. Kisha baadaye akaja kujua kuwa mwanamke anataka kurudi kwa yule mume wake wa kwanza ambapo akamtaliki juu ya hilo. Je, inajuzu kwake kurudi?
Jibu: Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe. Kizuizi kiko wapi cha kurudi kwa yule mume wake wa kwanza wakaoana kwa kufunga ndoa mpya? Hakulazimishwa kumtaliki. Amemtaliki kwa kutaka kwake mwenyewe baada ya kutomtaka tena.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)