Swali: Ipi hukumu ya mwanamke kuvaa suruwali nyumbani kwake na mume wake au mbele ya wanawake wenzake?
Jibu: Ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Suruwali ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Yule mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao.”
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.net/Default_ar.aspx?id=6024
- Imechapishwa: 20/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
al-Waadi´iy kuhusu mwanamke kuvaa suruwali
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuvaa suruwali nyumbani kwake akiwa na mume wake au wanawake wenzake? Jibu: Inavyoonekana ni kuwa suruwali ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema: “Atakayejifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
In "Suruwali kwa mwanamke"
Hatufungui mlango wa suruwali kwa mwanamke
Swali: Dada huyu anauliza. Ni ipi hukumu kwa mwanamke kuvaa suruwali mbele ya watoto na akiwa na mume wake tu? Jibu: Akiivaa mbele ya watoto atakuja kuivaa hata mbele ya wakubwa. Sisi hatufungui mlango na nafasi. Haijuzu kwake kuivaa anapokuwa na mume wake. Tukifungua mlango huu na kusema kuwa inajuzu, tutakuwa…
In "Suruwali kwa mwanamke"
Mwanamke kuvaa shati na Suruwali ya kike
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuvaa shati la kike na suruwali ya kike lakini suruwali hii ni pana ya kuachia na si ya kubana? Ni ipi hukumu ya kuivaa na kuwavalisha wasichana wadogo? Jibu: Inazingatiwa ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Tunawashauri kujiepusha nayo. Vivyo hivyo wasichana wadogo watazowea hilo na…
In "Malezi ya watoto"