Swali: Ipi hukumu ya mwanamke kuvaa suruwali nyumbani kwake na mume wake au mbele ya wanawake wenzake?
Jibu: Ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Suruwali ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Yule mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao.”
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.net/Default_ar.aspx?id=6024
- Imechapishwa: 20/02/2018
Swali: Ipi hukumu ya mwanamke kuvaa suruwali nyumbani kwake na mume wake au mbele ya wanawake wenzake?
Jibu: Ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Suruwali ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Yule mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao.”
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.net/Default_ar.aspx?id=6024
Imechapishwa: 20/02/2018
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuvaa-suruwali-mbele-ya-mume-wake-na-wanawake-wengine/