Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke mwenye msimamo kurudisha salamu kwa mwanaume ambaye amemtolea salamu naye yuko kwenye njia?
Jibu: Ndio. Kuitikia salamu ni wajibu. Ikiwa hana makusudio mabaya inajuzu. Ama ikiwa ana makusudio mabaya haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke mwenye msimamo kurudisha salamu kwa mwanaume ambaye amemtolea salamu naye yuko kwenye njia?
Jibu: Ndio. Kuitikia salamu ni wajibu. Ikiwa hana makusudio mabaya inajuzu. Ama ikiwa ana makusudio mabaya haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuitikia-salamu-ya-mwanaume/