Swali: Inajuzu kwa mwanamke kufanya kazi kama keshia kwenye duka ikiwa amelazimika kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Anatakiwa kufanya kazi tu ambazo zinahusiana na wanawake. Hatakiwi kufanya kazi ambazo zina wanaume na wanawake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighâthat-il-Lahfân (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kufanya kazi kama keshia kwenye duka ikiwa amelazimika kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Anatakiwa kufanya kazi tu ambazo zinahusiana na wanawake. Hatakiwi kufanya kazi ambazo zina wanaume na wanawake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighâthat-il-Lahfân (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kufanyakazi-ya-keshia-kwenye-duka/