Swali: Kuna mwanaume ameachana na mke wake talaka ya tatu kisha akataka kumrejea. Akaolewa na mwanaume mwengine kisha akaanza kumfanyia vitimbi ili kumkasirisha kwa lengo amtaliki. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Hapana. Ni haramu kwa mwanamke huyo kufanya hivo. Anafanya hivo ili aweze kurudi kwa yule mume wa kwanza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)