Swali: Kuna mwanaume ameachana na mke wake talaka ya tatu kisha akataka kumrejea. Akaolewa na mwanaume mwengine kisha akaanza kumfanyia vitimbi ili kumkasirisha kwa lengo amtaliki. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Hapana. Ni haramu kwa mwanamke huyo kufanya hivo. Anafanya hivo ili aweze kurudi kwa yule mume wa kwanza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Kuna mwanaume ameachana na mke wake talaka ya tatu kisha akataka kumrejea. Akaolewa na mwanaume mwengine kisha akaanza kumfanyia vitimbi ili kumkasirisha kwa lengo amtaliki. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Hapana. Ni haramu kwa mwanamke huyo kufanya hivo. Anafanya hivo ili aweze kurudi kwa yule mume wa kwanza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anamkasirisha-mume-wake-wa-pili-ili-arudi-kwa-yule-wa-kwanza/