Swali: Vipi ikiwa mwanamke amesilimu na yuko na walii kafiri?
Jibu: Kafiri hana usimamizi. Lakini ikiwa mwanamke hana budi na wakati huohuo hana walii, ni sawa akamsimamia kama walii ili kusitokee mtihani. Atamsimamia kama walii. Ukweli wa mambo ni kwamba mwanamke huyu atakuwa amejiozesha mwenyewe. Hata hivyo kutokana na dharurah amshauri ili kusitokee kati yake na mume wake fitina na ili kusitokee shari. Vinginevyo sio walii anayezingatiwa kwa mujibu wa Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23833/حكم-تزويج-من-كان-وليها-كافرا
- Imechapishwa: 08/05/2024
Swali: Vipi ikiwa mwanamke amesilimu na yuko na walii kafiri?
Jibu: Kafiri hana usimamizi. Lakini ikiwa mwanamke hana budi na wakati huohuo hana walii, ni sawa akamsimamia kama walii ili kusitokee mtihani. Atamsimamia kama walii. Ukweli wa mambo ni kwamba mwanamke huyu atakuwa amejiozesha mwenyewe. Hata hivyo kutokana na dharurah amshauri ili kusitokee kati yake na mume wake fitina na ili kusitokee shari. Vinginevyo sio walii anayezingatiwa kwa mujibu wa Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23833/حكم-تزويج-من-كان-وليها-كافرا
Imechapishwa: 08/05/2024
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyesimuli-anapokuwa-hana-walii-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
