Swali: Ikiwa mke wa kwanza amekataa kuishi na wa pili baada ya ndoa na akaomba talaka. Ni ipi hukumu ya talaka?
Jibu: Sio lazima kwake mume kumtaliki. Ni lazima kwa mwanamke huyo kunyenyekea hukumu ya Allaah na asubiri.
Swali: Ameomba talaka na amekataa kurudi?
Jibu: Hapana vibaya akitaka kumtaliki. Hata hivyo mume halazimiki kufanya hivo. Hapana vibaya kama anataka kumtaliki.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23898/هل-تطلق-الزوجة-لرفضها-العيش-مع-اخرى
- Imechapishwa: 29/05/2024
Swali: Ikiwa mke wa kwanza amekataa kuishi na wa pili baada ya ndoa na akaomba talaka. Ni ipi hukumu ya talaka?
Jibu: Sio lazima kwake mume kumtaliki. Ni lazima kwa mwanamke huyo kunyenyekea hukumu ya Allaah na asubiri.
Swali: Ameomba talaka na amekataa kurudi?
Jibu: Hapana vibaya akitaka kumtaliki. Hata hivyo mume halazimiki kufanya hivo. Hapana vibaya kama anataka kumtaliki.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23898/هل-تطلق-الزوجة-لرفضها-العيش-مع-اخرى
Imechapishwa: 29/05/2024
https://firqatunnajia.com/mume-hulazimiki-kumtaliki-mke-wako-anayedai-talaka-unapoongeza-mke-mwengine/