Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amekufa akiwa katika hali ya kuyaomba msaada makaburi?
Jibu: Ikiwa muombaji anasema “ee fulani! Niokoe” ni shirki. Sio muislamu na wala hatakiwi kuswaliwa. Vilevile asizikwe kwenye makaburi ya waislamu. Tunamuomba Allaah usalama na afya. Kwa sababu amezibatilisha ´ibaadah zake kwa kule kuwataka uokozi wengine badala ya Allaah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67955&audiotype=lectures&browseby=speaker
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amekufa akiwa katika hali ya kuyaomba msaada makaburi?
Jibu: Ikiwa muombaji anasema “ee fulani! Niokoe” ni shirki. Sio muislamu na wala hatakiwi kuswaliwa. Vilevile asizikwe kwenye makaburi ya waislamu. Tunamuomba Allaah usalama na afya. Kwa sababu amezibatilisha ´ibaadah zake kwa kule kuwataka uokozi wengine badala ya Allaah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67955&audiotype=lectures&browseby=speaker
https://firqatunnajia.com/muislamu-kama-huyu-hatakiwi-kuswaliwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)