Swali: Ni ipi hukumu Muhrim akifunika mwili wake mzima kukiwemo kichwa wakati anapolala?
Jibu: Ajifunue. Akisahau, ajifunue na wala hakuna neno. Kadhalika kama alikuwa mjinga na akatambua hukumu kwamba haijuzu kufunika kichwa; ajifunue na wala hakuna kitu. Anapewa udhuru kwa kusahau na kwa ujinga. Na kama amelazimika kufunika kichwa chake kwa sababu ya baridi, basi afanye hivo na atalazimika kutoa fidia. Ni kama kunyoa wakati wa haja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 29/02/2020
Swali: Ni ipi hukumu Muhrim akifunika mwili wake mzima kukiwemo kichwa wakati anapolala?
Jibu: Ajifunue. Akisahau, ajifunue na wala hakuna neno. Kadhalika kama alikuwa mjinga na akatambua hukumu kwamba haijuzu kufunika kichwa; ajifunue na wala hakuna kitu. Anapewa udhuru kwa kusahau na kwa ujinga. Na kama amelazimika kufunika kichwa chake kwa sababu ya baridi, basi afanye hivo na atalazimika kutoa fidia. Ni kama kunyoa wakati wa haja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 29/02/2020
https://firqatunnajia.com/muhrim-mlalaji-kufunika-kichwa-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)