Swali: Ni wepi wenye fadhila zaidi; Muhajiruun au Answaar?
Jibu: Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Kwa ajili hio ndio maana wanatajwa kabla ya Answaar. Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Wameacha mali zao, manyumba yao na miji yao. Wao ni wabora zaidi kuliko Answaar.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17475
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Ni wepi wenye fadhila zaidi; Muhajiruun au Answaar?
Jibu: Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Kwa ajili hio ndio maana wanatajwa kabla ya Answaar. Muhaajiruun ndio wabora zaidi. Wameacha mali zao, manyumba yao na miji yao. Wao ni wabora zaidi kuliko Answaar.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17475
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/muhaajiruun-ni-bora-zaidi-kuliko-answaar/