Swali 130: Je, kuoga kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pamoja na wake zake kunaonesha kuwa walikuwa wamevaa nguo za chini?
Jibu: Hakuna haja ya kudhani hivyo, kwani msingi ni kutokuwepo vazi hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 64
- Imechapishwa: 25/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 130: Je, kuoga kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pamoja na wake zake kunaonesha kuwa walikuwa wamevaa nguo za chini?
Jibu: Hakuna haja ya kudhani hivyo, kwani msingi ni kutokuwepo vazi hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 64
Imechapishwa: 25/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mtume-akioga-na-wakeze/