Swali: Kuna wanaume wenye alama za wema, lakini wanafuatilia baadhi ya nyimbo na maigizo ya TV. Je, wana dhambi katika hilo?
Jibu: Kusikiliza nyimbo na maigizo yenye madhara yanayokwenda kinyume na Shari´ah, yanamdhuru kila mtu. Yanamdhuru anayeyasikiliza na anayeyaangalia. Ama akisikiliza mazungumzo ya kidini, Qur-aan na khabari muhimu, hilo halimdhuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1427/سماع-الاغاني-ومشاهدة-التمثيليات-التلفزيونية
- Imechapishwa: 19/12/2025
Swali: Kuna wanaume wenye alama za wema, lakini wanafuatilia baadhi ya nyimbo na maigizo ya TV. Je, wana dhambi katika hilo?
Jibu: Kusikiliza nyimbo na maigizo yenye madhara yanayokwenda kinyume na Shari´ah, yanamdhuru kila mtu. Yanamdhuru anayeyasikiliza na anayeyaangalia. Ama akisikiliza mazungumzo ya kidini, Qur-aan na khabari muhimu, hilo halimdhuru.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1427/سماع-الاغاني-ومشاهدة-التمثيليات-التلفزيونية
Imechapishwa: 19/12/2025
https://firqatunnajia.com/mtu-wa-dini-kusikiliza-nyimbo-na-tv/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket