Swali: Je, mtu analipwa thawabu za matendo yake kabla ya yeye kuritadi?
Jibu: Ndio:
”Umesilimu kwa matendo mema uliyoyafanya hapo awali.”
Ikiwa atasilimu na akanyooka sawasawa, basi Allaah atayahifadhi matendo yake yaliyotangulia.
Swali: Vipi ikiwa ataritadi kisha akasilimu?
Jibu: Matendo yake yaliyotangulia akiwa bado ni muislamu ni yake. Atahifadhiwa nayo. Kadhalika iwapo atasilimu matendo yake mema kabla ya kuja Uislamu.
Swali: Yeye amekutwa ni muislamu, lakini alinyoa ndevu zake au aliacha…
Jibu: Huko sio kuritadi, hayo ni maasi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29357/هل-يثاب-من-ارتد-ثم-اسلم-على-اعماله-السابقة
- Imechapishwa: 11/07/2025
Swali: Je, mtu analipwa thawabu za matendo yake kabla ya yeye kuritadi?
Jibu: Ndio:
”Umesilimu kwa matendo mema uliyoyafanya hapo awali.”
Ikiwa atasilimu na akanyooka sawasawa, basi Allaah atayahifadhi matendo yake yaliyotangulia.
Swali: Vipi ikiwa ataritadi kisha akasilimu?
Jibu: Matendo yake yaliyotangulia akiwa bado ni muislamu ni yake. Atahifadhiwa nayo. Kadhalika iwapo atasilimu matendo yake mema kabla ya kuja Uislamu.
Swali: Yeye amekutwa ni muislamu, lakini alinyoa ndevu zake au aliacha…
Jibu: Huko sio kuritadi, hayo ni maasi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29357/هل-يثاب-من-ارتد-ثم-اسلم-على-اعماله-السابقة
Imechapishwa: 11/07/2025
https://firqatunnajia.com/mtu-analipwa-thawabu-za-matendo-yake-kabla-ya-kuritadi/