Swali: Ninasumbuliwa katika swalah yangu kwa moyo wangu kufikiria haya na yale. Ni kitu gani ambacho kitafanya moyo wangu kuwa na unyenyekevu katika swalah?
Jibu: Sote tuko hivo na hakuna nguvu wala uwezo isipokuwa kwa msaada wa Allaah. Lakini kinachotakikana ni muislamu ajaribu. Allaah atamsaidia katika hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
- Marejeo: Firqatunnajia.com
- Imechapishwa: 06/11/2014
Swali: Ninasumbuliwa katika swalah yangu kwa moyo wangu kufikiria haya na yale. Ni kitu gani ambacho kitafanya moyo wangu kuwa na unyenyekevu katika swalah?
Jibu: Sote tuko hivo na hakuna nguvu wala uwezo isipokuwa kwa msaada wa Allaah. Lakini kinachotakikana ni muislamu ajaribu. Allaah atamsaidia katika hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
Marejeo: Firqatunnajia.com
Imechapishwa: 06/11/2014
https://firqatunnajia.com/mtu-ajaribu-kuleta-unyenyekevu-katika-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
