Swali: Mtu afanye nini ikiwa marafiki zake anaokaa nao waovu ndio ndugu zake na wanaishi katika nyumba moja?
Jibu: Awalinganie kwa Allaah. Ikiwa wako na kitu katika maasi au shirki awalinganie kwa Allaah na awaelekeze. Wakikubaliwa ni sawa, vinginevyo jitenge nao mbali ili wasikuvute katika batili.
Swali: Ahame kutoka kwenye nyumba wanayoishi?
Jibu: Ikiwa unachelea juu ya nafsi yako wakuvute katika batili yao.
Swali: Hukumu ni hiyohiyo hata kama ni baba?
Jibu: Hukumu ni hiyohiyo hata kama ni baba.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24571/ما-يفعل-من-ابتلي-بجلساء-السوء-من-الاقارب
- Imechapishwa: 03/11/2024
Swali: Mtu afanye nini ikiwa marafiki zake anaokaa nao waovu ndio ndugu zake na wanaishi katika nyumba moja?
Jibu: Awalinganie kwa Allaah. Ikiwa wako na kitu katika maasi au shirki awalinganie kwa Allaah na awaelekeze. Wakikubaliwa ni sawa, vinginevyo jitenge nao mbali ili wasikuvute katika batili.
Swali: Ahame kutoka kwenye nyumba wanayoishi?
Jibu: Ikiwa unachelea juu ya nafsi yako wakuvute katika batili yao.
Swali: Hukumu ni hiyohiyo hata kama ni baba?
Jibu: Hukumu ni hiyohiyo hata kama ni baba.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24571/ما-يفعل-من-ابتلي-بجلساء-السوء-من-الاقارب
Imechapishwa: 03/11/2024
https://firqatunnajia.com/mtu-afanye-nini-ikiwa-watu-anaokaa-naye-nyumbani-ni-watenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket