Swali: Sujuud ya kusahau inafanywa baada ya salamu pale ambapo mswaliji aliyejiunga na imamu atatoa salamu pamoja na imamu kwa kusahau?
Jibu: Bora zaidi ni yeye asujudu baada ya salamu. Ni sahihi pia akitoa salamu kabla ya salamu, kwa sababu ametoa salamu kutokana na kupunguza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24852/ما-حكم-المسبوق-اذا-سلم-مع-امامه-ساهيا
- Imechapishwa: 20/12/2024
Swali: Sujuud ya kusahau inafanywa baada ya salamu pale ambapo mswaliji aliyejiunga na imamu atatoa salamu pamoja na imamu kwa kusahau?
Jibu: Bora zaidi ni yeye asujudu baada ya salamu. Ni sahihi pia akitoa salamu kabla ya salamu, kwa sababu ametoa salamu kutokana na kupunguza.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24852/ما-حكم-المسبوق-اذا-سلم-مع-امامه-ساهيا
Imechapishwa: 20/12/2024
https://firqatunnajia.com/mswaliji-ametoa-salamu-pamoja-na-imamu-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)