Swali: Mtoto wangu wa kiume mwenye miaka 17 anapotoka kwenda kuswali mkusanyiko ninapokuwa sipo anarudi nyumbani amechelewa na ninakhofia juu yake na marafiki wabaya. Je, napata dhambi nikimzuia na swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Huenda ni dhana na wasiwasi wako tu. Maadamu upo mchunge. Ikiwa haupo acha wasia kwa jirani yako au ndugu yako amchunge. Maadamu nia yako ni wewe kumchunga basi Allaah (´Azza wa Jall) atakusaidia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2139
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Mtoto wangu wa kiume mwenye miaka 17 anapotoka kwenda kuswali mkusanyiko ninapokuwa sipo anarudi nyumbani amechelewa na ninakhofia juu yake na marafiki wabaya. Je, napata dhambi nikimzuia na swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Huenda ni dhana na wasiwasi wako tu. Maadamu upo mchunge. Ikiwa haupo acha wasia kwa jirani yako au ndugu yako amchunge. Maadamu nia yako ni wewe kumchunga basi Allaah (´Azza wa Jall) atakusaidia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2139
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-kwa-mzazi-anayechelea-kwa-mvulana-wake-kwenda-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)