Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kwenda msikitini kwa mavazi aliolalia?
Jibu: Muhimu mavazi hayo yawe masafi na yenye kusitiri. Yakiwa ni twahara na masafi swalah inasihi.
Lakini mavazi yenye utata au ambayo yanafanya watu kukuangalia vibaya usende nayo [msikitini]. Vaa kama wanavyovaa wengine wanapoenda msikitini kuswali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
- Imechapishwa: 25/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kwenda msikitini kwa mavazi aliolalia?
Jibu: Muhimu mavazi hayo yawe masafi na yenye kusitiri. Yakiwa ni twahara na masafi swalah inasihi.
Lakini mavazi yenye utata au ambayo yanafanya watu kukuangalia vibaya usende nayo [msikitini]. Vaa kama wanavyovaa wengine wanapoenda msikitini kuswali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/msikitini-na-nguo-za-kulalia/