Swali: Inajuzu kwa msichana wa Kiislamu kumuahidi kijana kuolewa nae bila ya kuwataka ushauri wala kuieleza familia yake kuhusu hilo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu isipokuwa kupitia njia ya walii wake. Walii wake ndiye atadili na mposaji. Asizungumze na wasichana. Haijuzu kufanya hivi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Inajuzu kwa msichana wa Kiislamu kumuahidi kijana kuolewa nae bila ya kuwataka ushauri wala kuieleza familia yake kuhusu hilo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu isipokuwa kupitia njia ya walii wake. Walii wake ndiye atadili na mposaji. Asizungumze na wasichana. Haijuzu kufanya hivi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/msichana-wa-kiislamu-anamuahidi-kijana-kuolewa-nae/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
