Swali: Msichana wangu amekufa akiwa na miaka 13. Je, analazimika kuhiji?
Jibu: Kama alikuwa amekwishabaleghe, akawa na uwezo na yuko pamoja na Mahram basi hajj inamuwajibikia. Lakini kama alikuwa hajabaleghe, alikuwa hana mali au alikuwa hana Mahram basi kimsingi hajj haimlazimu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
- Imechapishwa: 29/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)