Swali: Inajuzu kula kichinjwa cha mkristo ikiwa tuna uhakika kuwa amechinja kwa jina la al-Masiyh?
Jibu: Allaah ameturuhusu kula na alijua kuwa wanachinja kwa jina la al-Masiyh. Tunatendea kazi Aayah:
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَّهُمْ
“Na chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao.” (05:05)
Bi maana vichinjwa vyao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Inajuzu kula kichinjwa cha mkristo ikiwa tuna uhakika kuwa amechinja kwa jina la al-Masiyh?
Jibu: Allaah ameturuhusu kula na alijua kuwa wanachinja kwa jina la al-Masiyh. Tunatendea kazi Aayah:
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَّهُمْ
“Na chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao.” (05:05)
Bi maana vichinjwa vyao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/mnaswara-anayechinja-kwa-jina-la-yesu/