15  – Nikamuuliza Shaykh wetu kuhusu baadhi ya waliotunga kuhusu sifa maalum za Mtume na wakasema kuwa mkojo wake  (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni msafi?

Jibu: Hakuna kilicho sahihi kuhusu hili. Sifa maalum hazithibitishwi isipokuwa kwa dalili.

16 – Kwa sababu alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mwanadamu?

Jibu: Ndio, alikuwa akijisafisha kwa maji na akiosha (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
  • Imechapishwa: 24/07/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´