Swali: Dada yangu pindi alipoona mume wake anachelewa kuwachinjia ´Aqiyqah watoto wao ndipo yeye akaenda kununua mbuzi/kondoo na akamchinja pasi na idhini kutoka kwa mume wake. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Endapo angelimuomba idhini ingelikuwa ni bora zaidi. Lakini ni sahihi – Allaah akitaka. ´Aqiyqah hii ni sahihi – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 01/12/2017
Swali: Dada yangu pindi alipoona mume wake anachelewa kuwachinjia ´Aqiyqah watoto wao ndipo yeye akaenda kununua mbuzi/kondoo na akamchinja pasi na idhini kutoka kwa mume wake. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Endapo angelimuomba idhini ingelikuwa ni bora zaidi. Lakini ni sahihi – Allaah akitaka. ´Aqiyqah hii ni sahihi – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 01/12/2017
https://firqatunnajia.com/mke-amechinja-aqiyqah-pasina-idhini-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket