Swali: Imeruhusiwa kwa mwanamke kijana kukataa kuolewa baada ya kufiliwa na mume wake wa kwanza?
Jibu: Shari´ah imesisitiza kuoa/kuolewa na ikakokoteza kwalo. Ni wajibu kwa msimamizi wa mwanamke huyu amsihi kuolewa na amsisitize. Akikataa na wakati huohuo kukawa hakukhofiwi juu yake fitina amwache na jambo lake.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18/30)
- Imechapishwa: 20/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket