Swali: Makaburi ya mji wetu kumeota miti kama kwamba yameyafunika makaburi. Je, bora ni kuondoshwa miti hii au iachwe?
Jibu: Bora ni kuiondosha miti hii kwa kuikata ili watu wasije kuamini kuwa ina baraka au mfano wa hayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Maajiyd (54) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16490
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Makaburi ya mji wetu kumeota miti kama kwamba yameyafunika makaburi. Je, bora ni kuondoshwa miti hii au iachwe?
Jibu: Bora ni kuiondosha miti hii kwa kuikata ili watu wasije kuamini kuwa ina baraka au mfano wa hayo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Maajiyd (54) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16490
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/miti-na-majani-yanayoota-makaburini/