Swali: Je, ni wajibu kuhajiri kutoka katika miji iliyofunguliwa na waislamu hapo zamani kisha baadaye ikarudi kwa makafiri?
Jibu: Ndio, ni mamoja nchi msingi wake ilikuwa ya makafiri tokea mwanzo au imegeuka kuwa nchi ya kikafiri huko baadaye. Kinachozingatiwa ni kwamba ni nchi ya kikafiri.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 15/02/2019
Swali: Je, ni wajibu kuhajiri kutoka katika miji iliyofunguliwa na waislamu hapo zamani kisha baadaye ikarudi kwa makafiri?
Jibu: Ndio, ni mamoja nchi msingi wake ilikuwa ya makafiri tokea mwanzo au imegeuka kuwa nchi ya kikafiri huko baadaye. Kinachozingatiwa ni kwamba ni nchi ya kikafiri.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 15/02/2019
https://firqatunnajia.com/midhali-ni-nchi-ya-kikafiri/