Swali: Mamangu alikuwa anauguwa maradhi kwa muda wa miezi mine na akafa bila ya kufunga Ramadhaan. Ni ipi hukumu?
Jibu: Mtolee chakula kwa kila siku moja masikini.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/116)
- Imechapishwa: 19/06/2017
Swali: Mamangu alikuwa anauguwa maradhi kwa muda wa miezi mine na akafa bila ya kufunga Ramadhaan. Ni ipi hukumu?
Jibu: Mtolee chakula kwa kila siku moja masikini.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/116)
Imechapishwa: 19/06/2017
https://firqatunnajia.com/miaka-mine-mgonjwa-na-amekufa-akiwa-na-deni-la-ramadhaan/