Swali: Madaktari wamethibitisha kuwa mgonjwa fulani maradhi yake si yenye kutarajiwa kupona ambapo akaacha kufunga. Baada ya muda Allaah akamponya. Je, ni lazima kwake kulipa?
Jibu: Akiwa aliwahi kutoa chakula, hahitajii kufanya kitu zaidi. Ama ikiwa alikuwa bado hajalisha chakula na anaweza kulipa masiku hayo, afanye hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/12/2019
Swali: Madaktari wamethibitisha kuwa mgonjwa fulani maradhi yake si yenye kutarajiwa kupona ambapo akaacha kufunga. Baada ya muda Allaah akamponya. Je, ni lazima kwake kulipa?
Jibu: Akiwa aliwahi kutoa chakula, hahitajii kufanya kitu zaidi. Ama ikiwa alikuwa bado hajalisha chakula na anaweza kulipa masiku hayo, afanye hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 01/12/2019
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-wa-maradhi-sugu-amepona-baada-ya-ramadhaan/