Swali: Mgonjwa aliyepitwa na swawm kwa sababu ya maradhi afanye nini?
Jibu: Allaah akimponya basi alipe yale masiku anayodaiwa. Maradhi yakiendelea kumwandama na akakata tamaa ya kupona basi alishe kwa kila siku moja masikini.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/121-122)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Mgonjwa aliyepitwa na swawm kwa sababu ya maradhi afanye nini?
Jibu: Allaah akimponya basi alipe yale masiku anayodaiwa. Maradhi yakiendelea kumwandama na akakata tamaa ya kupona basi alishe kwa kila siku moja masikini.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/121-122)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-aliyepitwa-na-swawm-kwa-sababu-ya-maradhi-afanye-nini/