Swali: Vipi kuhusu mfungaji kutia matone ya dawa puani?
Jibu: Hapana, asiharibu swawm yake. Kutokana na Hadiyth inayosema:
“Fanya kishindo katika kupalizia isipokuwa kama utakuwa umefunga.”[1]
Swali: Vipi kuhusu mfungaji kuwekewa damu?
Jibu: Kinachohihiri ni kwamba anafungua.
[1] Abu Daawuud (142), at-Tirmdihiy (787), an-Nasaa´iy (87) na Ibn Maajah (407).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 125
- Imechapishwa: 03/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Vipi kuhusu mfungaji kutia matone ya dawa puani?
Jibu: Hapana, asiharibu swawm yake. Kutokana na Hadiyth inayosema:
“Fanya kishindo katika kupalizia isipokuwa kama utakuwa umefunga.”[1]
Swali: Vipi kuhusu mfungaji kuwekewa damu?
Jibu: Kinachohihiri ni kwamba anafungua.
[1] Abu Daawuud (142), at-Tirmdihiy (787), an-Nasaa´iy (87) na Ibn Maajah (407).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 125
Imechapishwa: 03/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mfungaji-usitie-dawa-za-matone-puani-wala-kuwekwa-damu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
