Swali 426: Mfungaji akisukutua kinywa au akapandisha maji puani ambapo yakaingia tumboni mwake kunamfunguza?
Jibu: Mfungaji akisukutua kinywa au akapandisha maji puani yakaingia tumboni mwake hakumfunguzi. Kwa sababu hakufanya kwa kukusudia. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ فِيمَا أَخْطَأْتُم بِهِ وَلَـٰكِن مَّا تَعَمَّدَتْ قُلُوبُكُمْ
”Hapana dhambi juu yenu katika yale mliyoyakosea, lakini isipokuwa katika yale yaliyoyakusudia nyoyo zenu.” (33:05)
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
- Imechapishwa: 29/04/2020
Swali 426: Mfungaji akisukutua kinywa au akapandisha maji puani ambapo yakaingia tumboni mwake kunamfunguza?
Jibu: Mfungaji akisukutua kinywa au akapandisha maji puani yakaingia tumboni mwake hakumfunguzi. Kwa sababu hakufanya kwa kukusudia. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ فِيمَا أَخْطَأْتُم بِهِ وَلَـٰكِن مَّا تَعَمَّدَتْ قُلُوبُكُمْ
”Hapana dhambi juu yenu katika yale mliyoyakosea, lakini isipokuwa katika yale yaliyoyakusudia nyoyo zenu.” (33:05)
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
Imechapishwa: 29/04/2020
https://firqatunnajia.com/mfungaji-amekunywa-maji-kwa-bahati-mbaya/