Imesimuliwa kutoka kwa baadhi ya watu wajinga wakiuliza ni vipi mbingu zinakuwa wakati Allaah anaposhuka. Wakasema:
“Huzinyanyua kisha huzishusha. Yeye ni muweza wa kufanya hivo.”
Kila ambaye anafikiria yale ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemsifu Mola wake ni kama sifa za viwiliwili vyao ni wenye kupotea. Kisha baada ya hapo wanajigawanya makundi mawili.
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Hadiyth-in-Nuzuul, uk. 113
- Imechapishwa: 01/04/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket