Swali: Ni sahihi kwamba imewekwa katika Shari´ah kuunguza na moto nyumba ya mchawi akiwa ndani?
Jibu: Hapana. Hakukuthibiti kuwa nyumba ya mchawi inaunguzwa na moto akiwa ndani:
“Hakuna anayeadhibu kwa Moto isipokuwa Mola wa Moto.”[1]
Lakini anatakiwa kuuawa kwa kukatwa shingo.
[1] Abu Daawuud (2673).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Ni sahihi kwamba imewekwa katika Shari´ah kuunguza na moto nyumba ya mchawi akiwa ndani?
Jibu: Hapana. Hakukuthibiti kuwa nyumba ya mchawi inaunguzwa na moto akiwa ndani:
“Hakuna anayeadhibu kwa Moto isipokuwa Mola wa Moto.”[1]
Lakini anatakiwa kuuawa kwa kukatwa shingo.
[1] Abu Daawuud (2673).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/mchawi-hachomwi-moto/