Swali: Mchawi ambaye amesimamishiwa hadd anaswaliwa?
Jibu: Mchawi ni kafiri. Amesimamishiwa hadd ya kufuru na sio ya kutwaharishwa. Anauawa kwa ajili ya kufuru na sio hadd. Maadamu ni kafiri haswaliwi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Mchawi ambaye amesimamishiwa hadd anaswaliwa?
Jibu: Mchawi ni kafiri. Amesimamishiwa hadd ya kufuru na sio ya kutwaharishwa. Anauawa kwa ajili ya kufuru na sio hadd. Maadamu ni kafiri haswaliwi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mchawi-anaswaliwa/