Swali: Mimi na mke wangu tulikuwa tunataka kubadilisha pasipoti mahakamani ambapo tukaanza kugombana kuhusu mchanganyiko na wanawake wasiojisitiri walioko huko.
Jibu: Mtazame mke wako na mwache aandamane na wewe. Mwache aende huko anakolazimika kwenda. Lakini hata hivyo ni lazima ajihifadhi na awe pamoja na wewe. Malizeni mahitajio yenu kisha mwende zenu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Mimi na mke wangu tulikuwa tunataka kubadilisha pasipoti mahakamani ambapo tukaanza kugombana kuhusu mchanganyiko na wanawake wasiojisitiri walioko huko.
Jibu: Mtazame mke wako na mwache aandamane na wewe. Mwache aende huko anakolazimika kwenda. Lakini hata hivyo ni lazima ajihifadhi na awe pamoja na wewe. Malizeni mahitajio yenu kisha mwende zenu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/mchanganyiko-serikalini/